Swali: Kilichotolewa baharini kinatolewa zakaah?
Jibu: Hakina zakaah kwa mujibu wa maoni sahihi. Lakini kikizungukiwa na mwaka huku mmiliki wake amekiandaa kwa ajili ya biashara, basi kinakuwa ni katika mali za biashara. Ikiwa ni dhahabu au fedha, basi ni lazima kuvitolea zakaah vikizungukiwa na mwaka. Ama ikiwa kilichotolewa baharini si dhahabu wala fedha na mmiliki amekiandaa kwa ajili ya biashara, basi kinakuwa katika mali za biashara.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31325/هل-في-المستخرج-من-البحر-زكاة
- Imechapishwa: 19/10/2025
Swali: Kilichotolewa baharini kinatolewa zakaah?
Jibu: Hakina zakaah kwa mujibu wa maoni sahihi. Lakini kikizungukiwa na mwaka huku mmiliki wake amekiandaa kwa ajili ya biashara, basi kinakuwa ni katika mali za biashara. Ikiwa ni dhahabu au fedha, basi ni lazima kuvitolea zakaah vikizungukiwa na mwaka. Ama ikiwa kilichotolewa baharini si dhahabu wala fedha na mmiliki amekiandaa kwa ajili ya biashara, basi kinakuwa katika mali za biashara.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31325/هل-في-المستخرج-من-البحر-زكاة
Imechapishwa: 19/10/2025
https://firqatunnajia.com/vinavyotoka-baharini-vinatolewa-zakaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
