Swali: Baadhi ya vijana wanawapigia simu wachawi, wanarekodi maneno yao, wanawachezea shere wachawi hawa kisha wanaeneza rekodi hizi…
Jibu: Haijuzu kwao kufanya hivi. Kuna ambao wanaweza kusadikisha maneno yao hayo. Wewe hukuwaamini, lakini huenda kukawepo wengine watakaowaamini. Kitendo kama hichi kinaeneza uchawi na hakijuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (61) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-%2029%20-0%206-1438.mp3
- Imechapishwa: 06/08/2017
Swali: Baadhi ya vijana wanawapigia simu wachawi, wanarekodi maneno yao, wanawachezea shere wachawi hawa kisha wanaeneza rekodi hizi…
Jibu: Haijuzu kwao kufanya hivi. Kuna ambao wanaweza kusadikisha maneno yao hayo. Wewe hukuwaamini, lakini huenda kukawepo wengine watakaowaamini. Kitendo kama hichi kinaeneza uchawi na hakijuzu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (61) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-%2029%20-0%206-1438.mp3
Imechapishwa: 06/08/2017
https://firqatunnajia.com/vijana-wanawachezea-shere-wachawi/