Swali: Je, kuweka sharti katika I´tikaaf inakuwa kwa kutamka?
Jibu: Ndiyo.
Swali: Je, inakubalika ikiwa mtu kwa mfano atasema “Sharti langu ni kutoka kuswali”?
Jibu: Inatoa kunuia, kwani matendo yanahesabiwa kwa nia.
Swali: Je, kuitamka ni Bid´ah?
Jibu: Hakuna tatizo ikiwa ataitamka, hata hivyo nia inatosha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25442/هل-يجوز-الاشتراط-في-الاعتكاف
- Imechapishwa: 20/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)