Swali: Kumwambia:
يرحمك الله
“Allaah akurehemu.”
anayepiga chafya ni wajibu na ni ipi dalili ya hilo?
Jibu: Kumwambia:
يرحمك الله
“Allaah akurehemu.”
anayechemua ni Sunnah. Ama kuhusu kumwambia:
يهديكم الله
“Allaah akuongoze.”
ni wajibu. Akipiga chafya imependekezwa kumwambia:
يرحمك الله
“Allaah akurehemu.”
Ama kuhusu kumrudishia, bi maana kumwambia:
يهديكم الله
“Allaah akuongoze.”
ni wajibu. Ni kama mfano wa kuanza salamu ni Sunnah na kuitikia ndio wajibu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-03-10.MP3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Kumwambia:
يرحمك الله
“Allaah akurehemu.”
anayepiga chafya ni wajibu na ni ipi dalili ya hilo?
Jibu: Kumwambia:
يرحمك الله
“Allaah akurehemu.”
anayechemua ni Sunnah. Ama kuhusu kumwambia:
يهديكم الله
“Allaah akuongoze.”
ni wajibu. Akipiga chafya imependekezwa kumwambia:
يرحمك الله
“Allaah akurehemu.”
Ama kuhusu kumrudishia, bi maana kumwambia:
يهديكم الله
“Allaah akuongoze.”
ni wajibu. Ni kama mfano wa kuanza salamu ni Sunnah na kuitikia ndio wajibu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-03-10.MP3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/uwajibu-wa-kumwambia-yaahadiykumu-allaah-anayepiga-chafya/