Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya tamthiliya ya Malaika na Mitume (Swalla Allaahu ´alayhim wa sallam)?
Jibu: Haijuzu. Imekatazwa. Haijuzu kufanya tamthiliya ya Malaika wala Mitume (Swalla Allaahu ´alayhim wa sallam). Huku ni kuwatweza na kuwachezea shere.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
- Imechapishwa: 27/08/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya tamthiliya ya Malaika na Mitume (Swalla Allaahu ´alayhim wa sallam)?
Jibu: Haijuzu. Imekatazwa. Haijuzu kufanya tamthiliya ya Malaika wala Mitume (Swalla Allaahu ´alayhim wa sallam). Huku ni kuwatweza na kuwachezea shere.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
Imechapishwa: 27/08/2017
https://firqatunnajia.com/utwevu-kwa-malaika-na-mitume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)