Swali: Libya ISIS imechukua utawala kwenye mji fulani na misikiti yake mingi. Je, swalah nyuma yao ni sahihi ikiwa mtu anaonelea kuwakufurisha Khawaarij?
Jibu: Sio sahihi kuswali nyuma ya Khawaarij na wengine wenye kwenda kinyume na Ahl-us-Sunnah. Swali na Ahl-us-Sunnah kwenye miskiti yenye kusimamiwa na Ahl-us-Sunnah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=153184
- Imechapishwa: 07/02/2017
Swali: Libya ISIS imechukua utawala kwenye mji fulani na misikiti yake mingi. Je, swalah nyuma yao ni sahihi ikiwa mtu anaonelea kuwakufurisha Khawaarij?
Jibu: Sio sahihi kuswali nyuma ya Khawaarij na wengine wenye kwenda kinyume na Ahl-us-Sunnah. Swali na Ahl-us-Sunnah kwenye miskiti yenye kusimamiwa na Ahl-us-Sunnah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=153184
Imechapishwa: 07/02/2017
https://firqatunnajia.com/usiswali-nyuma-ya-khawaarij-na-ahl-ul-bidah/