Swali: Libya ISIS imechukua utawala kwenye mji fulani na misikiti yake mingi. Je, swalah nyuma yao ni sahihi ikiwa mtu anaonelea kuwakufurisha Khawaarij?
Jibu: Sio sahihi kuswali nyuma ya Khawaarij na wengine wenye kwenda kinyume na Ahl-us-Sunnah. Swali na Ahl-us-Sunnah kwenye miskiti yenye kusimamiwa na Ahl-us-Sunnah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=153184
- Imechapishwa: 07/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)