Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali katika msikiti wa al-Husayn nchini Misri, ilihali inajulikana kuwa al-Husayn bin ´Aliy hakuzikwa nchini humo na kaburi hilo huwa tupu?
Jibu: Maadamu kwao kuna madhihirisho ya al-Husayn, mwito ni kwa jina la al-Husayn au kuna kaburi la al-Husayn, basi haijuzu kwa muislamu kuwaunga mkono katika jambo hilo. Hivyo asiswali humo wala asilihesabu kuwa ni swalah, kwa sababu madhihirisho yako wazi, ni mamoja iwe ni katika kaburi la al-Husayn au kaburi jingine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (29/236)
- Imechapishwa: 01/03/2026
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali katika msikiti wa al-Husayn nchini Misri, ilihali inajulikana kuwa al-Husayn bin ´Aliy hakuzikwa nchini humo na kaburi hilo huwa tupu?
Jibu: Maadamu kwao kuna madhihirisho ya al-Husayn, mwito ni kwa jina la al-Husayn au kuna kaburi la al-Husayn, basi haijuzu kwa muislamu kuwaunga mkono katika jambo hilo. Hivyo asiswali humo wala asilihesabu kuwa ni swalah, kwa sababu madhihirisho yako wazi, ni mamoja iwe ni katika kaburi la al-Husayn au kaburi jingine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (29/236)
Imechapishwa: 01/03/2026
https://firqatunnajia.com/usiswali-misikiti-mfano-wa-hii/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket