Muulizaji: Wakati imamu ´Aliy alipokuwa anajibia swali alikuwa akitumia neno “Qaaluun”, lililo na maana ya “vizuri” kwa kirumi…

al-Albaaniy: Usisemi kwa mara nyingine tena “imamu ´Aliy”.

Muulizaji: Si alikuwa ni imamu.

al-Albaaniy: Abu Bakr naye?

Muulizaji: Imamu.

al-Albaaniy: Ulishawahi siku moja wapo kusema “imamu Abu Bakr?” Sema hapana.

Muulizaji: Hapana.

al-Albaaniy: Kwa hiyo nitakwambia kitu baina yako wewe na mimi asiweko yeyote atakayetusikia: huo ni mwenendo wa kitu kilichofichwa.

  • Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (1023)
  • Imechapishwa: 02/10/2020