Muulizaji: Wakati imamu ´Aliy alipokuwa anajibia swali alikuwa akitumia neno “Qaaluun”, lililo na maana ya “vizuri” kwa kirumi…
al-Albaaniy: Usisemi kwa mara nyingine tena “imamu ´Aliy”.
Muulizaji: Si alikuwa ni imamu.
al-Albaaniy: Abu Bakr naye?
Muulizaji: Imamu.
al-Albaaniy: Ulishawahi siku moja wapo kusema “imamu Abu Bakr?” Sema hapana.
Muulizaji: Hapana.
al-Albaaniy: Kwa hiyo nitakwambia kitu baina yako wewe na mimi asiweko yeyote atakayetusikia: huo ni mwenendo wa kitu kilichofichwa.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (1023)
- Imechapishwa: 02/10/2020
Muulizaji: Wakati imamu ´Aliy alipokuwa anajibia swali alikuwa akitumia neno “Qaaluun”, lililo na maana ya “vizuri” kwa kirumi…
al-Albaaniy: Usisemi kwa mara nyingine tena “imamu ´Aliy”.
Muulizaji: Si alikuwa ni imamu.
al-Albaaniy: Abu Bakr naye?
Muulizaji: Imamu.
al-Albaaniy: Ulishawahi siku moja wapo kusema “imamu Abu Bakr?” Sema hapana.
Muulizaji: Hapana.
al-Albaaniy: Kwa hiyo nitakwambia kitu baina yako wewe na mimi asiweko yeyote atakayetusikia: huo ni mwenendo wa kitu kilichofichwa.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (1023)
Imechapishwa: 02/10/2020
https://firqatunnajia.com/usisemi-kwa-mara-nyingine-tena-imamu-aliy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)