Swali: Inajuzu kumpa zakaah mtu ambaye ni muhitaji ili asimamie safari ya mke wake?
Jibu: Midhali ni muhitaji na ni fakiri na wala hawezi kusimamia safari ya mke wake, mpa zakaah. Isipokuwa tu ikiwa anasafiri bila Mahram; katika hali hiyo usimpe kwa sababu kufanya hivo ni kusaidiana katika dhambi na uadui.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2019
Swali: Inajuzu kumpa zakaah mtu ambaye ni muhitaji ili asimamie safari ya mke wake?
Jibu: Midhali ni muhitaji na ni fakiri na wala hawezi kusimamia safari ya mke wake, mpa zakaah. Isipokuwa tu ikiwa anasafiri bila Mahram; katika hali hiyo usimpe kwa sababu kufanya hivo ni kusaidiana katika dhambi na uadui.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
Imechapishwa: 11/11/2019
https://firqatunnajia.com/usimpe-kama-anasafiri-bila-mahram/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
