Swali: Je, ni sahihi kukunja mikono ya nguo kabla ya kuanza kuswali?
Jibu: Hapana, mtu anatakiwa kuiacha mikono ya nguo yake wazi wakati wa kuingia ndani ya swalah. Haitakiwi kuikunja ili iweze kusujudu pamoja naye.
Swali: Vipi kuhusu kufunga Ghutrah?
Jibu: Vivyo hivyo Ghutra inapaswa kuachwa kama ilivyo.
Swali: Vipi ikiwa mtu atafanya hivyo?
Jibu: Haitakikani kufanya hivyo. Dogo kabisa liwezalo kusemwa ni kwamba jambo hilo linachukiza.
Swali: Vipi ikiwa sehemu ya katikati ya nguo au bisi inasambaa na kuwagusa watu walio karibu wakati wa kusujudu?
Jibu: Hapana, aikusanye karibu naye ili asiwaudhi wengine. Hii ni muhimu, kama ilivyopokewa katika Hadiyth ya Waaa-il bin Hujr, ambapo alipoenda katika Rukuu´ alitoa mikono yake kutoka chini ya vazi lake, akainua mikono yake, na kisha akaiingiza tena baada ya kuinuka, khaswa wakati wa baridi au hali kama hiyo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24850/حكم-كف-الثياب-في-الصلاة-وقبلها
- Imechapishwa: 01/01/2025
Swali: Je, ni sahihi kukunja mikono ya nguo kabla ya kuanza kuswali?
Jibu: Hapana, mtu anatakiwa kuiacha mikono ya nguo yake wazi wakati wa kuingia ndani ya swalah. Haitakiwi kuikunja ili iweze kusujudu pamoja naye.
Swali: Vipi kuhusu kufunga Ghutrah?
Jibu: Vivyo hivyo Ghutra inapaswa kuachwa kama ilivyo.
Swali: Vipi ikiwa mtu atafanya hivyo?
Jibu: Haitakikani kufanya hivyo. Dogo kabisa liwezalo kusemwa ni kwamba jambo hilo linachukiza.
Swali: Vipi ikiwa sehemu ya katikati ya nguo au bisi inasambaa na kuwagusa watu walio karibu wakati wa kusujudu?
Jibu: Hapana, aikusanye karibu naye ili asiwaudhi wengine. Hii ni muhimu, kama ilivyopokewa katika Hadiyth ya Waaa-il bin Hujr, ambapo alipoenda katika Rukuu´ alitoa mikono yake kutoka chini ya vazi lake, akainua mikono yake, na kisha akaiingiza tena baada ya kuinuka, khaswa wakati wa baridi au hali kama hiyo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24850/حكم-كف-الثياب-في-الصلاة-وقبلها
Imechapishwa: 01/01/2025
https://firqatunnajia.com/usikunje-mikono-ya-nguo-wakati-wa-kuswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)