Swali: Ibn Mas’uud (Radhiya Allaahu ´anh) aliposema:
”Wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa hai tulikuwa tukisema:
السلام عليك أيها النبي و رحمة الله و بركاته
“Amani, rehema na baraka za Allaah ziwe juu yako, ee Mtume!”
Lakini baada ya yeye kufariki tukawa tunasema:
السلام على النبي
“Amani iwe juu ya Mtume.”
Jibu: Hapana, hiyo ni katika Ijtihaad ya Ibn Mas´uud. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwafundisha na hakuwambia hivo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwafunza waseme:
السلام عليك أيها النبي و رحمة الله و بركاته
“Amani, rehema na baraka za Allaah ziwe juu yako, ee Mtume!”
Licha ya kwamba alijua kuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) atakufa. Isitoshe wakati mwingine wanasema hivo wakiwa mbali na yeye; walioko ´Iraaq, Shaam, Yemen na Makkah wanasema hivo ilihali wako mbali naye. Kwa hivyo ni bora mtu aendelee kusema kama alivyoelekezwa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
السلام عليك أيها النبي و رحمة الله و بركاته
“Amani, rehema na baraka za Allaah ziwe juu yako, ee Mtume!”
Hata hivyo, ikiwa mtu atasema:
السلام على النبي
“Amani iwe juu ya Mtume.”
kama alivyosema Ibn Mas’uud, hapana vibaya. Lakini Sunnah ni kufuata matamshi ambayo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwafunza Maswahabah zake. Kufanya hivo ni bora zaidi kuliko Ijtihaad ya Ibn Mas´uud.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24855/حكم-السلام-عليك-ايها-النبي-بعد-موتهﷺ
- Imechapishwa: 01/01/2025
Swali: Ibn Mas’uud (Radhiya Allaahu ´anh) aliposema:
”Wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa hai tulikuwa tukisema:
السلام عليك أيها النبي و رحمة الله و بركاته
“Amani, rehema na baraka za Allaah ziwe juu yako, ee Mtume!”
Lakini baada ya yeye kufariki tukawa tunasema:
السلام على النبي
“Amani iwe juu ya Mtume.”
Jibu: Hapana, hiyo ni katika Ijtihaad ya Ibn Mas´uud. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwafundisha na hakuwambia hivo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwafunza waseme:
السلام عليك أيها النبي و رحمة الله و بركاته
“Amani, rehema na baraka za Allaah ziwe juu yako, ee Mtume!”
Licha ya kwamba alijua kuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) atakufa. Isitoshe wakati mwingine wanasema hivo wakiwa mbali na yeye; walioko ´Iraaq, Shaam, Yemen na Makkah wanasema hivo ilihali wako mbali naye. Kwa hivyo ni bora mtu aendelee kusema kama alivyoelekezwa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
السلام عليك أيها النبي و رحمة الله و بركاته
“Amani, rehema na baraka za Allaah ziwe juu yako, ee Mtume!”
Hata hivyo, ikiwa mtu atasema:
السلام على النبي
“Amani iwe juu ya Mtume.”
kama alivyosema Ibn Mas’uud, hapana vibaya. Lakini Sunnah ni kufuata matamshi ambayo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwafunza Maswahabah zake. Kufanya hivo ni bora zaidi kuliko Ijtihaad ya Ibn Mas´uud.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24855/حكم-السلام-عليك-ايها-النبي-بعد-موتهﷺ
Imechapishwa: 01/01/2025
https://firqatunnajia.com/bora-zaidi-tamko-la-mtume-kuliko-la-ibn-masuud/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)