Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) amesema:
سَلَامٌ هِيَ حَتَّىٰ مَطْلَعِ الْفَجْرِ
”Ni amani mpaka kuchomoza alfajiri!”[1]
Usiku huu ni wenye amani. Allaah (Ta´ala) ameusifu hivo kutokana na wingi wa wale wanaosalimishwa kutokamana na madhambi na kuadhibiwa katika usiku huo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule atakayesimama kuswali usiku wa Qadr kwa imani na kwa matarajio, basi atasamehewa madhambi yake yaliyotangulia.”[2]
Hapana shaka kwamba kusamehewa kwa madhambi ni salama kutokamana na adhabu zake.
حَتَّىٰ مَطْلَعِ الْفَجْرِ
“… mpaka kuchomoza alfajiri!”
Katika usiku huo Malaika hushuka mpaka kupambazuke alfajiri. Kunapochomoza alfajiri basi usiku wa Qadr unakwisha.
[1] 97:5
[2] al-Bukhaariy (2014) na Muslim (760).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tafsiyr al-Qur-aan al-Kariym, Juz’ ´Amma, uk. 276
- Imechapishwa: 14/05/2020
Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) amesema:
سَلَامٌ هِيَ حَتَّىٰ مَطْلَعِ الْفَجْرِ
”Ni amani mpaka kuchomoza alfajiri!”[1]
Usiku huu ni wenye amani. Allaah (Ta´ala) ameusifu hivo kutokana na wingi wa wale wanaosalimishwa kutokamana na madhambi na kuadhibiwa katika usiku huo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule atakayesimama kuswali usiku wa Qadr kwa imani na kwa matarajio, basi atasamehewa madhambi yake yaliyotangulia.”[2]
Hapana shaka kwamba kusamehewa kwa madhambi ni salama kutokamana na adhabu zake.
حَتَّىٰ مَطْلَعِ الْفَجْرِ
“… mpaka kuchomoza alfajiri!”
Katika usiku huo Malaika hushuka mpaka kupambazuke alfajiri. Kunapochomoza alfajiri basi usiku wa Qadr unakwisha.
[1] 97:5
[2] al-Bukhaariy (2014) na Muslim (760).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tafsiyr al-Qur-aan al-Kariym, Juz’ ´Amma, uk. 276
Imechapishwa: 14/05/2020
https://firqatunnajia.com/usiku-wenye-amani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)