Swali: Je, kuna Hadiyth ambazo ni Swahiyh kuhusu kuhuisha usiku wa kuamkia siku mbili za ´iyd? Ni ipi Sunnah kuhusu nyusiku za ´iyd mbili?

Jibu: Hakuna Hadiyth Swahiyh kuhusu katika kuhuisha na kuufanya maalum. Sunnah ni kwamba usiku huo ni kama nyusiku nyenginezo.

  • Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 350
  • Imechapishwa: 05/05/2025