Swali: Himdi zote ni za Allaah ambaye ametukusanya sehemu hii. Tunamuomba Allaah atukusanye katika mabustani ya Peponi. Hakika Yeye kwa hilo ni muweza…
Jibu: Hakika Yeye juu ya kila kitu ni muweza. Usikhusishe na kusema kuwa kwa hilo ni muweza au ni muweza kwa yale anayoyataka. Yaeneze kama alivyosema Allaah (Jalla wa ´Alaa):
عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ
“Hakika Yeye juu ya kila kitu ni muweza.” (41:39)
Kuhusiana na maneno ya Allaah:
وَهُوَ عَلَىٰ جَمْعِهِمْ إِذَا يَشَاءُ قَدِيرٌ
“Naye kwa kuwakusanya Atakapo ni muweza.” (42:29)
ni hali maalum ambapo Atawakusanya walioko mbinguni na ardhini siku ya Qiyaamah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-07-24_0.mp3
- Imechapishwa: 07/06/2020
Swali: Himdi zote ni za Allaah ambaye ametukusanya sehemu hii. Tunamuomba Allaah atukusanye katika mabustani ya Peponi. Hakika Yeye kwa hilo ni muweza…
Jibu: Hakika Yeye juu ya kila kitu ni muweza. Usikhusishe na kusema kuwa kwa hilo ni muweza au ni muweza kwa yale anayoyataka. Yaeneze kama alivyosema Allaah (Jalla wa ´Alaa):
عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ
“Hakika Yeye juu ya kila kitu ni muweza.” (41:39)
Kuhusiana na maneno ya Allaah:
وَهُوَ عَلَىٰ جَمْعِهِمْ إِذَا يَشَاءُ قَدِيرٌ
“Naye kwa kuwakusanya Atakapo ni muweza.” (42:29)
ni hali maalum ambapo Atawakusanya walioko mbinguni na ardhini siku ya Qiyaamah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-07-24_0.mp3
Imechapishwa: 07/06/2020
https://firqatunnajia.com/usikhusishe-uwezo-wa-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)