Swali: Kuna mtu amesema kuwa desturi za watu wao ni kwamba wanavaa nguo inayovuka mafundo mawili ya miguu baada ya kunasihiwa.
Jibu: Haijalishi kitu ni ada ya watu wake. Asiafikiane nao. Asivae nguo inayovuka kongo mbili za miguu kama wanavofanya. Aende nao kinyume na awashauri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23310/حكم-من-كان-الاسبال-عادة-لقومه
- Imechapishwa: 23/12/2023
Swali: Kuna mtu amesema kuwa desturi za watu wao ni kwamba wanavaa nguo inayovuka mafundo mawili ya miguu baada ya kunasihiwa.
Jibu: Haijalishi kitu ni ada ya watu wake. Asiafikiane nao. Asivae nguo inayovuka kongo mbili za miguu kama wanavofanya. Aende nao kinyume na awashauri.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23310/حكم-من-كان-الاسبال-عادة-لقومه
Imechapishwa: 23/12/2023
https://firqatunnajia.com/usiburuze-nguo-kama-wengine-wanavoburuza-nguo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)