Swali: Kuna mtu amesema kuwa desturi za watu wao ni kwamba wanavaa nguo inayovuka mafundo mawili ya miguu baada ya kunasihiwa.
Jibu: Haijalishi kitu ni ada ya watu wake. Asiafikiane nao. Asivae nguo inayovuka kongo mbili za miguu kama wanavofanya. Aende nao kinyume na awashauri.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23310/حكم-من-كان-الاسبال-عادة-لقومه
- Imechapishwa: 23/12/2023
Swali: Kuna mtu amesema kuwa desturi za watu wao ni kwamba wanavaa nguo inayovuka mafundo mawili ya miguu baada ya kunasihiwa.
Jibu: Haijalishi kitu ni ada ya watu wake. Asiafikiane nao. Asivae nguo inayovuka kongo mbili za miguu kama wanavofanya. Aende nao kinyume na awashauri.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23310/حكم-من-كان-الاسبال-عادة-لقومه
Imechapishwa: 23/12/2023
https://firqatunnajia.com/usiburuze-nguo-kama-wengine-wanavoburuza-nguo/