Swali: Nikiingia msikitini na nikakuta kuna ambaye anatoa muhadhara akitetea Taswawwuf na mifumo ya Suufiyyah – je, nitoke au nisubiri kukimiwe nje ya msikiti au niikae ndani ya msikiti mpaka kutapokimiwa kwa ajili swalah?
Jibu: Usende kwenye msikiti ambapo kuna muhadhara unaolingania katika shirki. Usende kuswali nyuma ya imamu ambaye hali yake ni kama hii. Nenda katika msikiti mwingine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
- Imechapishwa: 01/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket