Swali: Wiki iliyopita mmoja katika maimamu alitoa Khutbah moja tu katika swalah ya ijumaa, kisha akaswali Rak´ah mbili na watu wakaondoka. Halafu wakatofautiana baada ya hapo kuhusu usahihi wa swalah hiyo. Je, inapaswa kurudiwa na kuswali tena pamoja na imamu huyu?
Jibu: Ndiyo, inapaswa airudie kama swalah ya Dhuhr. Miongoni mwa masharti ya swalah ya ijumaa ni Khutbah mbili, kama alivyofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Isitohe amesema:
“Swalini kama mlivyoniona nikiswali.”
Allaah amsifu na amsalimishe!
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31567/هل-تصح-صلاة-الجمعة-بخطبة-واحدة
- Imechapishwa: 06/11/2025
Swali: Wiki iliyopita mmoja katika maimamu alitoa Khutbah moja tu katika swalah ya ijumaa, kisha akaswali Rak´ah mbili na watu wakaondoka. Halafu wakatofautiana baada ya hapo kuhusu usahihi wa swalah hiyo. Je, inapaswa kurudiwa na kuswali tena pamoja na imamu huyu?
Jibu: Ndiyo, inapaswa airudie kama swalah ya Dhuhr. Miongoni mwa masharti ya swalah ya ijumaa ni Khutbah mbili, kama alivyofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Isitohe amesema:
“Swalini kama mlivyoniona nikiswali.”
Allaah amsifu na amsalimishe!
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31567/هل-تصح-صلاة-الجمعة-بخطبة-واحدة
Imechapishwa: 06/11/2025
https://firqatunnajia.com/usahihi-wa-ijumaa-iliyotolewa-khutbah-moja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
