Swali: Ni ipi hukumu kwa mfungaji mgonjwa wa mafigo kusafisha damu? Je, ni lazima kwake kulipa siku hiyo?
Jibu: Ni lazima kwake kulipa siku hiyo kwa sababu ya ile lishe anayopata ya damu safi. Akiongezea juu ya hayo nyenzo zengine basi ni vifunguzi vyengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Fataawaa al-Muta´allaqah bit-Twibb wa Ahkaam-il-Maradhw, uk. 125
- Imechapishwa: 24/04/2020
Swali: Ni ipi hukumu kwa mfungaji mgonjwa wa mafigo kusafisha damu? Je, ni lazima kwake kulipa siku hiyo?
Jibu: Ni lazima kwake kulipa siku hiyo kwa sababu ya ile lishe anayopata ya damu safi. Akiongezea juu ya hayo nyenzo zengine basi ni vifunguzi vyengine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Fataawaa al-Muta´allaqah bit-Twibb wa Ahkaam-il-Maradhw, uk. 125
Imechapishwa: 24/04/2020
https://firqatunnajia.com/usafishaji-wa-damu-kwa-mfungaji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
