Kitabu hiki – ”Ihyaa´ ´Uluum-id-Diyn” cha Abu Hamiyd al-Ghazaaliy – kimekosolewa kwa panda mbili:
1 – Kuhusiana na kipengele cha kwanza katika kitabu kinachozungumzia ´Aqiydah, anaamini ´Aqiydah ya Ashaa´irah. ´Aqiydah ya Ashaa´irah inatofautiana na ´Aqiydah ya Ahl-ul-Hadiyth na khaswa Imaam Ahmad (Rahimahu Allaah). Anapindisha maana ya Aayah na Hadiyth zinazozungumzia sifa za Allaah (Ta´ala) ikiwa ni pamoja na maneno Yake:
الرَّحْمَـٰنُ عَلَى الْعَرْشِ اسْتَوَىٰ
“Mwingi wa rehema amelingana juu ya ´Arshi.”[1]
Anaifasiri Aayah hii kwa tafsiri ya wale waliokuja nyuma.
2 – Anamili katika Taswawwuf. Alikuwa amezama ndani yake.
[1] 20:05
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Juddah (29)
- Imechapishwa: 06/03/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)