Swali: Shafaa´ah kubwa ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) watu wataposimamishwa [kwa muda mrefu siku ya Qiyaamah] itakuwa kwa watu wote; waumini na makafiri au ni kwa waumini tu?
Jibu: Hapana, ni kwa watu wote. Shafaa´ah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni kwa watu wote; waumini na makafiri. Ni Shafaa´ah ya kutolewa watu katika kisimamo kirefu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) atawaombea ili Allaah Aweze kuwatoa kwenye kisimamo kirefu hiki. Kinawahusu watu wote, Ummah wote, waumini na makafiri.
Ama kuhusu Shafaa´ah ya kuwatoa wenye madhambi makubwa Motoni, hii itakuwa maalum kwa wapwekeshaji.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4743
- Imechapishwa: 01/05/2015
Swali: Shafaa´ah kubwa ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) watu wataposimamishwa [kwa muda mrefu siku ya Qiyaamah] itakuwa kwa watu wote; waumini na makafiri au ni kwa waumini tu?
Jibu: Hapana, ni kwa watu wote. Shafaa´ah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni kwa watu wote; waumini na makafiri. Ni Shafaa´ah ya kutolewa watu katika kisimamo kirefu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) atawaombea ili Allaah Aweze kuwatoa kwenye kisimamo kirefu hiki. Kinawahusu watu wote, Ummah wote, waumini na makafiri.
Ama kuhusu Shafaa´ah ya kuwatoa wenye madhambi makubwa Motoni, hii itakuwa maalum kwa wapwekeshaji.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4743
Imechapishwa: 01/05/2015
https://firqatunnajia.com/uombezi-mkubwa-wa-mtume-alayhis-salaam-ni-kwa-watu-wote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)