Swali: Kuna mtu aliweka nadhiri kwa ajili ya Allaah kwamba Allaah akimjaalia rafiki yake mtoto basi atamfanyia ´Aqiyqah ambapo Allaah akamjaalia mtoto. Akitekeleza nadhiri yake baba yake hana haja tena ya kumfanyia ´Aqiyqah?
Jibu: Ndio. Inafaa kufanya uniaba. Akisimamia mtu mwengine kwa niaba yako au akajitolea kutoka katika pesa zake ni sawa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 28/06/2024
Swali: Kuna mtu aliweka nadhiri kwa ajili ya Allaah kwamba Allaah akimjaalia rafiki yake mtoto basi atamfanyia ´Aqiyqah ambapo Allaah akamjaalia mtoto. Akitekeleza nadhiri yake baba yake hana haja tena ya kumfanyia ´Aqiyqah?
Jibu: Ndio. Inafaa kufanya uniaba. Akisimamia mtu mwengine kwa niaba yako au akajitolea kutoka katika pesa zake ni sawa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 28/06/2024
https://firqatunnajia.com/uniaba-na-ujitoleaji-katika-aqiyqah/