Swali: Kuna mtu aliweka nadhiri kwa ajili ya Allaah kwamba Allaah akimjaalia rafiki yake mtoto basi atamfanyia ´Aqiyqah ambapo Allaah akamjaalia mtoto. Akitekeleza nadhiri yake baba yake hana haja tena ya kumfanyia ´Aqiyqah?
Jibu: Ndio. Inafaa kufanya uniaba. Akisimamia mtu mwengine kwa niaba yako au akajitolea kutoka katika pesa zake ni sawa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 28/06/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)