Swali: Unaweza kumnasihi mtawala ambaye anawakusanya wanachuoni na kunachukuliwa picha kisha baadaye inasambazwa kwenye intaneti?
Jibu: Haya ni maandamano. Haijuzu. Haya ni maandamano. Sio nasaha. Nasaha inakuwa kwa siri. Hadiyth inasema amshike mkono na kumnasihi kwa siri.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Unaweza kumnasihi mtawala ambaye anawakusanya wanachuoni na kunachukuliwa picha kisha baadaye inasambazwa kwenye intaneti?
Jibu: Haya ni maandamano. Haijuzu. Haya ni maandamano. Sio nasaha. Nasaha inakuwa kwa siri. Hadiyth inasema amshike mkono na kumnasihi kwa siri.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/unaweza-kumnasihi-mtawala/