´Abdullaah bin az-Zubayr (Radhiya Allaahu ´anh) alipokuwa akisikia radi huacha kusema na husema:
سُبْحَانَ الذي يُسَبِّحُ الرَّعْدُ بِحَمْدِهِ والْملائِكَةُ مِنْ خِيفَتِهِ
“Ametakasika yule ambaye radi zinamtakasa kwa himdi Zake na Malaika pia kwa kumuogopa.”[1]
Ka´b amesema:
“Yeyote atakayesema hivi mara tatu basi atasalimsihwa na radi hiyo.”
at-Tirmidhiy amepokea kwamba ´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
”Wakati Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) alipokuwa anasikia sauti ya radi na radi husema:
اللهم لا تقتلنا بغضبك، ولا تهلكنا بعذابك، وعافنا قبل ذلك
“Ee Allaah! Usituue kwa ghadhabu Yako, usituangamize kwa adhabu Yako. Tusamehe kabla ya hapo!”[2]
[1] Cheni yake ya wapokezi ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib” (129).
[2] at-Tirmidhiy (3450), aliyesema kuwa Hadiyth ni ngeni, na Ahmad (2/457). Swahiyh kwa mujibu wa al-Haakim (4/286), ambayo imenyamaziwa na adh-Dhahabiy. Nzuri kwa mujibu wa al-´Iraaqiy katika “al-Mughniy ´an Haml-il-Asfaar” (1/295). Dhaifu kwa mujibu wa an-Nawawiy katika “al-Adhkaar” (1/471) na al-Albaaniy katika “Dhwa´iyf Sunan at-Tirmidhiy” (3450).
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Abiy Bakr bin Qayyim-il-Jawziyyah (afk. 751)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Waabil as-Swayyib wa Raafi´-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 318-319
- Imechapishwa: 22/09/2025
´Abdullaah bin az-Zubayr (Radhiya Allaahu ´anh) alipokuwa akisikia radi huacha kusema na husema:
سُبْحَانَ الذي يُسَبِّحُ الرَّعْدُ بِحَمْدِهِ والْملائِكَةُ مِنْ خِيفَتِهِ
“Ametakasika yule ambaye radi zinamtakasa kwa himdi Zake na Malaika pia kwa kumuogopa.”[1]
Ka´b amesema:
“Yeyote atakayesema hivi mara tatu basi atasalimsihwa na radi hiyo.”
at-Tirmidhiy amepokea kwamba ´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
”Wakati Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) alipokuwa anasikia sauti ya radi na radi husema:
اللهم لا تقتلنا بغضبك، ولا تهلكنا بعذابك، وعافنا قبل ذلك
“Ee Allaah! Usituue kwa ghadhabu Yako, usituangamize kwa adhabu Yako. Tusamehe kabla ya hapo!”[2]
[1] Cheni yake ya wapokezi ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib” (129).
[2] at-Tirmidhiy (3450), aliyesema kuwa Hadiyth ni ngeni, na Ahmad (2/457). Swahiyh kwa mujibu wa al-Haakim (4/286), ambayo imenyamaziwa na adh-Dhahabiy. Nzuri kwa mujibu wa al-´Iraaqiy katika “al-Mughniy ´an Haml-il-Asfaar” (1/295). Dhaifu kwa mujibu wa an-Nawawiy katika “al-Adhkaar” (1/471) na al-Albaaniy katika “Dhwa´iyf Sunan at-Tirmidhiy” (3450).
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Abiy Bakr bin Qayyim-il-Jawziyyah (afk. 751)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Waabil as-Swayyib wa Raafi´-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 318-319
Imechapishwa: 22/09/2025
https://firqatunnajia.com/unaposikia-radi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket