Swali: Mtu akiingia wakati kunaadhiniwa bora kwake asubiri adhaana imalizike kisha aswali swalah ya mamkuzi ya msikiti au aingie moja kwa moja kuswali swalah ya mamkuzi ya msikiti?
Jibu: Bora ni yeye kukusanya kati ya mambo mawili; amuitikie muadhini kisha aswali.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23800/هل-توجل-تحية-المسجد-للترديد-مع-الموذن
- Imechapishwa: 04/05/2024
Swali: Mtu akiingia wakati kunaadhiniwa bora kwake asubiri adhaana imalizike kisha aswali swalah ya mamkuzi ya msikiti au aingie moja kwa moja kuswali swalah ya mamkuzi ya msikiti?
Jibu: Bora ni yeye kukusanya kati ya mambo mawili; amuitikie muadhini kisha aswali.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23800/هل-توجل-تحية-المسجد-للترديد-مع-الموذن
Imechapishwa: 04/05/2024
https://firqatunnajia.com/unapoingia-msikitini-wakati-kunaadhiniwa/