Swali: Je, ni kweli kwamba unabii umemalizwa na Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) lakini utume haukumalizwa?
Jibu: Ni ukafiri. Mwenye kusema kuwa unabii umemalizwa lakini utume haukumalizwa ni kufuru. Hakuna baada ya Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) si Mtume wala Nabii.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (58) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16539
- Imechapishwa: 23/09/2017
Swali: Je, ni kweli kwamba unabii umemalizwa na Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) lakini utume haukumalizwa?
Jibu: Ni ukafiri. Mwenye kusema kuwa unabii umemalizwa lakini utume haukumalizwa ni kufuru. Hakuna baada ya Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) si Mtume wala Nabii.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (58) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16539
Imechapishwa: 23/09/2017
https://firqatunnajia.com/unabii-umemalizwa-na-si-utume/