Swali 382: Vipi kuhusu kufanya ´Umrah usiku wa tarehe ishirini na saba?
Jibu: Anatakiwa asijikalifishe na akawatia watu dhiki. Afanye ´Umrah katika mwezi mzima.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 133
- Imechapishwa: 16/08/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 382: Vipi kuhusu kufanya ´Umrah usiku wa tarehe ishirini na saba?
Jibu: Anatakiwa asijikalifishe na akawatia watu dhiki. Afanye ´Umrah katika mwezi mzima.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 133
Imechapishwa: 16/08/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/umrah-tarehe-27-rajab/