Swali: Je, ni katika kujionyesha ikiwa mtu atakuja kumuuliza kuhusu matendo mema ambapo akayadhihirisha?
Jibu: Hapana, hapana vibaya ikiwa hakukusudia kujionyesha. Hapana vibaya kwa mfano ameulizwa kama amefunga jumatatu au alkhamisi ambapo akajibu kwa kuitikia. Hakukusudia kujionyesha amekusudia kutoa maelezo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24634/هل-يجوز-اظهار-العمل-الصالح-لمن-سال-عنه
- Imechapishwa: 16/11/2024
Swali: Je, ni katika kujionyesha ikiwa mtu atakuja kumuuliza kuhusu matendo mema ambapo akayadhihirisha?
Jibu: Hapana, hapana vibaya ikiwa hakukusudia kujionyesha. Hapana vibaya kwa mfano ameulizwa kama amefunga jumatatu au alkhamisi ambapo akajibu kwa kuitikia. Hakukusudia kujionyesha amekusudia kutoa maelezo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24634/هل-يجوز-اظهار-العمل-الصالح-لمن-سال-عنه
Imechapishwa: 16/11/2024
https://firqatunnajia.com/umefunga-leo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket