Swali: Ni ipi hukumu ya kulingania kwa Allaah kwa mpangilio?
Jibu: Mpangilio ambao hauendi kinyume na Qur-aan na Sunnah ni jambo linalotakikana. Ni lazima kupangilia. Lakini watu hawa wanatumia vibaya kwa ajili ya kupitisha uvyama. Kuhusu mpangilio ndani ya mipaka ya Qur-aan na Sunnah ni jambo lisilokuwa na budi.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 403
- Imechapishwa: 10/07/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya kulingania kwa Allaah kwa mpangilio?
Jibu: Mpangilio ambao hauendi kinyume na Qur-aan na Sunnah ni jambo linalotakikana. Ni lazima kupangilia. Lakini watu hawa wanatumia vibaya kwa ajili ya kupitisha uvyama. Kuhusu mpangilio ndani ya mipaka ya Qur-aan na Sunnah ni jambo lisilokuwa na budi.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 403
Imechapishwa: 10/07/2025
https://firqatunnajia.com/ulinganizi-uliopangiliwa/