Swali: Nikiswali ´Aswr kwa kujumuisha baada ya swalah ya ijumaa Makkah ni lazima kuirudi ´Aswr?
Jibu: Ndio. Ni lazima kuirudi kwa kuwa umeiswali kabla ya wakati wake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (62) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13740
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Nikiswali ´Aswr kwa kujumuisha baada ya swalah ya ijumaa Makkah ni lazima kuirudi ´Aswr?
Jibu: Ndio. Ni lazima kuirudi kwa kuwa umeiswali kabla ya wakati wake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (62) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13740
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/ulazima-wa-kurudi-swalah-ya-aswr-ambayo-mtu-aliijumuisha-na-ijumaa/