Swali: Vipi kuhusu Hadiyth inayokataza kula kenge?

Jibu: Kiliochopokewa kuhusu katazo lake ni dhaifu. Sahihi ni kwamba ni halali, kama ilivyothibiti kwa al-Bukhaariy na Muslim.

Swali: Mtoaji maelezo amesema:

“Wanaosema kuwa kenge ni haramu wamejengea dalili kwa yale aliyopokea Abu Daawuud kwamba amekataza kenge.”?

Jibu: Hapana, si sahihi.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25316/هل-صح-حديث-النهي-عن-اكل-الضب
  • Imechapishwa: 27/02/2025