Swali: Je, inazingatiwa ni Sunnah kuondoka baada ya chakula katika karamu ya ndoa au mnasaba mwingine?
Jibu: Hii ndio Sunnah:
فَإِذَا طَعِمْتُمْ فَانتَشِرُوا وَلَا مُسْتَأْنِسِينَ لِحَدِيثٍ
”Mkimaliza kula, basi sambaeni na wala msikae kujifariji kwa mazungumzo.”[1]
Asiwaudhi. Asiwaudhi watu wa nyumbani. Akimaliza kula aondoke zake. Isipokuwa kulingana na desturi ikiwa kuna salio kama vile kahawa, chai au manukato. Italingana na mila na hapo hakuna neno. Kwa sababu ni jambo linaloandama chakula.
Swali: Aayah ni yenye kuenea?
Jibu: Ni yenye kuenea.
[1] 33:53
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23858/متى-يكون-الانصراف-بعد-اجابة-الدعوة
- Imechapishwa: 20/05/2024
Swali: Je, inazingatiwa ni Sunnah kuondoka baada ya chakula katika karamu ya ndoa au mnasaba mwingine?
Jibu: Hii ndio Sunnah:
فَإِذَا طَعِمْتُمْ فَانتَشِرُوا وَلَا مُسْتَأْنِسِينَ لِحَدِيثٍ
”Mkimaliza kula, basi sambaeni na wala msikae kujifariji kwa mazungumzo.”[1]
Asiwaudhi. Asiwaudhi watu wa nyumbani. Akimaliza kula aondoke zake. Isipokuwa kulingana na desturi ikiwa kuna salio kama vile kahawa, chai au manukato. Italingana na mila na hapo hakuna neno. Kwa sababu ni jambo linaloandama chakula.
Swali: Aayah ni yenye kuenea?
Jibu: Ni yenye kuenea.
[1] 33:53
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23858/متى-يكون-الانصراف-بعد-اجابة-الدعوة
Imechapishwa: 20/05/2024
https://firqatunnajia.com/ukimaliza-kula-shika-njia-uondoke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
