Swali 898: Mwanaume akimwambia mke wake “ukifanya jambo fulani basi wewe ni kama mama au dada yangu” ambapo baadaye mke akafanya jambo lile kwa kusahau.
Jibu: Ni lazima kwake kukafiri kafara ya yamini. Kama hakusahau basi amemfananisha mkewe na mama yake. Kwa sababu watu wamepewa udhuru:
رَبَّنَا لَا تُؤَاخِذْنَا إِن نَّسِينَا أَوْ أَخْطَأْنَا
“Ee Mola wetu! Usituchukulie pale tutaposahau au tukikosea.”[1]
[1] 02:286
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 359
- Imechapishwa: 27/03/2020
Swali 898: Mwanaume akimwambia mke wake “ukifanya jambo fulani basi wewe ni kama mama au dada yangu” ambapo baadaye mke akafanya jambo lile kwa kusahau.
Jibu: Ni lazima kwake kukafiri kafara ya yamini. Kama hakusahau basi amemfananisha mkewe na mama yake. Kwa sababu watu wamepewa udhuru:
رَبَّنَا لَا تُؤَاخِذْنَا إِن نَّسِينَا أَوْ أَخْطَأْنَا
“Ee Mola wetu! Usituchukulie pale tutaposahau au tukikosea.”[1]
[1] 02:286
Muhusika: ´Allaamah ´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 359
Imechapishwa: 27/03/2020
https://firqatunnajia.com/ukifanya-kadhaa-wewe-ni-kama-mama-yangu/