Swali: Kuna mwanamke mmoja ambaye hali yake ni nzuri alishughulishwa na hakuchinja Udhhiyah isipokuwa katika tarehe 15 ya Dhul-Hijjah ndipo akachinja. Inazingatiwa kuwa ni Udhhiyah?
Jibu: Kichinjwa kilichotajwa hakiwi Udhhiyah, kwa sababu wakati wa Udhhiyah umeshaondoka kwa kuzama kwa jua ile tarehe 13 ya mwezi wa Dhul-Hijjah. Hata hivyo kinazingatiwa kuwa ni swadaqah. Ale sehemu yake na awape swadaqah mafukara. Pia awape zawadi wale majirani na jamaa atakaowataka.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/39)
- Imechapishwa: 15/06/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket