Swali: Kuna mwanamke mmoja ambaye hali yake ni nzuri alishughulishwa na hakuchinja Udhhiyah isipokuwa katika tarehe 15 ya Dhul-Hijjah ndipo akachinja. Inazingatiwa kuwa ni Udhhiyah?
Jibu: Kichinjwa kilichotajwa hakiwi Udhhiyah, kwa sababu wakati wa Udhhiyah umeshaondoka kwa kuzama kwa jua ile tarehe 13 ya mwezi wa Dhul-Hijjah. Hata hivyo kinazingatiwa kuwa ni swadaqah. Ale sehemu yake na awape swadaqah mafukara. Pia awape zawadi wale majirani na jamaa atakaowataka.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/39)
- Imechapishwa: 15/06/2024
Swali: Kuna mwanamke mmoja ambaye hali yake ni nzuri alishughulishwa na hakuchinja Udhhiyah isipokuwa katika tarehe 15 ya Dhul-Hijjah ndipo akachinja. Inazingatiwa kuwa ni Udhhiyah?
Jibu: Kichinjwa kilichotajwa hakiwi Udhhiyah, kwa sababu wakati wa Udhhiyah umeshaondoka kwa kuzama kwa jua ile tarehe 13 ya mwezi wa Dhul-Hijjah. Hata hivyo kinazingatiwa kuwa ni swadaqah. Ale sehemu yake na awape swadaqah mafukara. Pia awape zawadi wale majirani na jamaa atakaowataka.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/39)
Imechapishwa: 15/06/2024
https://firqatunnajia.com/udhhiyah-ya-tarehe-15-dhul-hijjah/