Swali: Baba anaishi pamoja na watoto wake watatu ambao wote wamekwishaoa. Kila mmoja katika wao ana sehemu yake ya kipekee. Je, mnyama mmoja anatosha kwa wote?
Jibu: Vile ninavyoona ni kwamba kila nyumba wanatakiwa kuchinja. Kwa sababu kila nyumba iko kivyake.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (25/38)
- Imechapishwa: 20/08/2018
Swali: Baba anaishi pamoja na watoto wake watatu ambao wote wamekwishaoa. Kila mmoja katika wao ana sehemu yake ya kipekee. Je, mnyama mmoja anatosha kwa wote?
Jibu: Vile ninavyoona ni kwamba kila nyumba wanatakiwa kuchinja. Kwa sababu kila nyumba iko kivyake.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (25/38)
Imechapishwa: 20/08/2018
https://firqatunnajia.com/udhhiyah-mmoja-kwa-baba-anayeishi-na-watoto-wake-watatu/