Uchawi wa kuleta mapenzi kwa wanandoa unafaa?

Swali: Wachawi hutengeneza kitu ambapo mwanamke akapendeza kwa mwanaume na mwanaume akapendeza kwa mwanamke. Je, kitendo hichi kinafaa?

Jibu: Huo ni uchawi:

فَيَتَعَلَّمُونَ مِنْهُمَا مَا يُفَرِّقُونَ بِهِ بَيْنَ الْمَرْءِ وَزَوْجِهِ

“Basi wakajifunza kutoka kwa hao [Malaika] wawili yenye kupelekea kufarikisha kwayo kati ya mtu na mkewe.”[1]

Na kinyume chake ambao unamfanya mwanaume kupendeza zaidi kwa mkewe. Hio inaitwa at-Tiwalah:

”Hakika matabano, hirizi na at-Tiwalah ni shirki.”

 at-Tiwalah ni uchawi.

[1] 02:102

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24611/حكم-عمل-ما-يحبب-المراة-للرجل-والعكس
  • Imechapishwa: 09/11/2024