Swali: Ambaye anamwendea mchawi anapata adhabu sawa na ya ambaye anamwendea kuhani au mpiga ramli?
Jibu: Watawala wanatakiwa kuwazuia wote hao na wahakikishe watu hawawaendei wala hawawasadikishi. Ikibidi kuwatia adabu watiwe adabu. Mjinga afunzwe na ambaye anafanya makusudi atiwe adabu.
Swali: Adhabu ya ambaye anawaendea wachawi ndio adhabu hiyohiyo ya ambaye anawaendea makuhani?
Jibu: Ni mbaya na mbaya zaidi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24610/ما-عقوبة-الذهاب-الى-الساحر
- Imechapishwa: 09/11/2024
Swali: Ambaye anamwendea mchawi anapata adhabu sawa na ya ambaye anamwendea kuhani au mpiga ramli?
Jibu: Watawala wanatakiwa kuwazuia wote hao na wahakikishe watu hawawaendei wala hawawasadikishi. Ikibidi kuwatia adabu watiwe adabu. Mjinga afunzwe na ambaye anafanya makusudi atiwe adabu.
Swali: Adhabu ya ambaye anawaendea wachawi ndio adhabu hiyohiyo ya ambaye anawaendea makuhani?
Jibu: Ni mbaya na mbaya zaidi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24610/ما-عقوبة-الذهاب-الى-الساحر
Imechapishwa: 09/11/2024
https://firqatunnajia.com/adhabu-ya-kwenda-kwa-mchawi-ni-mbaya-zaidi-kuliko-ya-mpiga-ramli-na-kuhani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)