Swali: Tumesoma kuwa haifai kufanya uasi kwa mtawala midhali anaswali. Hiyo ina maana kwamba inafaa kumfanyia uasi mtawala kafiri?
Jibu: Ikiwa uasi huo utatendeka bila ya fitina na umwagikaji wa damu. Ikiwa kuna uwezekano wa kumg´oa na badala yake kuweka muislamu pasi na fitina na umwagikaji wa damu, hakuna neno.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
- Imechapishwa: 13/08/2017
Swali: Tumesoma kuwa haifai kufanya uasi kwa mtawala midhali anaswali. Hiyo ina maana kwamba inafaa kumfanyia uasi mtawala kafiri?
Jibu: Ikiwa uasi huo utatendeka bila ya fitina na umwagikaji wa damu. Ikiwa kuna uwezekano wa kumg´oa na badala yake kuweka muislamu pasi na fitina na umwagikaji wa damu, hakuna neno.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
Imechapishwa: 13/08/2017
https://firqatunnajia.com/uasi-kwa-mtawala-kafiri/