Swali: Mwenye kuhukumu kinyume na yale aliyoteremsha Allaah anaitwa kuwa ni Twaaghuut?
Jibu: Ndio, anaitwa kuwa ni Twaaghuut japokuwa hatohalalisha. Kuhukumu kinyume na yale aliyoteremsha Allaah na Twaaghuut vimegawanyika aina kubwa na ndogo.
Swali: Mwenye kusema kuwa kuhukumu kinyume na yale aliyoteremsha Allaah kunatofautiana na uzinzi na hukumu zengine?
Jibu: Mimi sijui. Ni kama walivoweka wazi Maswahabah kama ´Abdullaah bin ´Abbaas na wengineo kwamba ni kufuru ndogo. Je, mtu akimuhukumia kwa kupendelea ndugu yake, baba yake, mama yake, rafiki yake au mali yake juu ya hukumu fulani ilihali anajua kuwa amekwenda kinyume na haki anakufuru?
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 75-76
- Imechapishwa: 14/07/2019
Swali: Mwenye kuhukumu kinyume na yale aliyoteremsha Allaah anaitwa kuwa ni Twaaghuut?
Jibu: Ndio, anaitwa kuwa ni Twaaghuut japokuwa hatohalalisha. Kuhukumu kinyume na yale aliyoteremsha Allaah na Twaaghuut vimegawanyika aina kubwa na ndogo.
Swali: Mwenye kusema kuwa kuhukumu kinyume na yale aliyoteremsha Allaah kunatofautiana na uzinzi na hukumu zengine?
Jibu: Mimi sijui. Ni kama walivoweka wazi Maswahabah kama ´Abdullaah bin ´Abbaas na wengineo kwamba ni kufuru ndogo. Je, mtu akimuhukumia kwa kupendelea ndugu yake, baba yake, mama yake, rafiki yake au mali yake juu ya hukumu fulani ilihali anajua kuwa amekwenda kinyume na haki anakufuru?
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 75-76
Imechapishwa: 14/07/2019
https://firqatunnajia.com/twaaghuut-kwa-anayehukumu-kinyume-na-shariah/