Swali: Mtu akitamka Talaka, ni ipi hukumu ikiwa kwa Talaka hiyo ananuia yamini?
Jibu: Akitamka Talaka, tunamhukumu kwa matamshi yake na wala hatutazami nia yake. Tunamhukumu matamshi yake ya Talaka ya wazi aliotamka. Na wala hatujali kwa ubabaishaji wa kusema: “Mimi sikukusudia, mimi hivi na vile”.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/10050
- Imechapishwa: 07/02/2018
Swali: Mtu akitamka Talaka, ni ipi hukumu ikiwa kwa Talaka hiyo ananuia yamini?
Jibu: Akitamka Talaka, tunamhukumu kwa matamshi yake na wala hatutazami nia yake. Tunamhukumu matamshi yake ya Talaka ya wazi aliotamka. Na wala hatujali kwa ubabaishaji wa kusema: “Mimi sikukusudia, mimi hivi na vile”.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/10050
Imechapishwa: 07/02/2018
https://firqatunnajia.com/tunamhukumu-mtu-kwa-matamshi-yake-ya-talaka-na-si-kwa-nia/