Swali: Ufaransa kuna maoni tofauti juu ya nyakati za swalah, khaswa juu ya swalah ya ´Ishaa na Fajr. Tunakaribia mwezi wa Ramadhaan na tunachelea fitina na mpasuko. Je, tufuate jadwali ya chuo cha Fiqh (المجمع الفقهي) au jadwali ya msikiti mkubwa ulioko Paris?
Jibu: Rejeeni katika kituo chenu cha Kiislamu. Rejeeni katika kituo chenu cha Kiislamu. Watatendea kazi jambo la salama zaidi na kufanya lile ambalo ni la lazima.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (63) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16641 Dakika: 1.11.15
- Imechapishwa: 05/02/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)