Swali: Uislamu unasema nini juu ya kuwatahiri wasichana na ni ipi dalili ya hilo?
Jibu: Ni jambo linalopendeza. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitaja mambo ya kimaumbile ambapo moja wapo akataja kutahiri, ambayo inakusanya wanaume na wanawake.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 348
- Imechapishwa: 01/08/2025
Swali: Uislamu unasema nini juu ya kuwatahiri wasichana na ni ipi dalili ya hilo?
Jibu: Ni jambo linalopendeza. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitaja mambo ya kimaumbile ambapo moja wapo akataja kutahiri, ambayo inakusanya wanaume na wanawake.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 348
Imechapishwa: 01/08/2025
https://firqatunnajia.com/tohara-ya-wanawake-inapendeza/