Swali: Ikiwa wanazuoni wamezungumza kuhusu dini ya mpokezi, lakini hawakuzungumza kuhusu hifdhi na usahihi wake?
Jibu: Hilo linahusiana na uadilifu, kwani uadilifu ni kitu kimoja, na usahihi na udhibiti ni kitu kingine.
Huenda mtu akawa ni mwadilifu lakini si mwenye udhibiti. Kwa maana nyingine ana udhaifu wa kuhifadhi.
Huenda akawa ni mwenye udhibiti mzuri upande wa hifdhi, lakini si mwadilifu. Kwa maana nyingine ana ufuska, maasi au Bid´ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31308/ما-الفرق-بين-العدالة-والضبط-في-رواة-الحديث
- Imechapishwa: 18/10/2025
Swali: Ikiwa wanazuoni wamezungumza kuhusu dini ya mpokezi, lakini hawakuzungumza kuhusu hifdhi na usahihi wake?
Jibu: Hilo linahusiana na uadilifu, kwani uadilifu ni kitu kimoja, na usahihi na udhibiti ni kitu kingine.
Huenda mtu akawa ni mwadilifu lakini si mwenye udhibiti. Kwa maana nyingine ana udhaifu wa kuhifadhi.
Huenda akawa ni mwenye udhibiti mzuri upande wa hifdhi, lakini si mwadilifu. Kwa maana nyingine ana ufuska, maasi au Bid´ah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31308/ما-الفرق-بين-العدالة-والضبط-في-رواة-الحديث
Imechapishwa: 18/10/2025
https://firqatunnajia.com/tofauti-ya-uadilifu-na-udhibiti-wa-mpokezi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
