Swali: Tofauti ilioko kuhusu hukumu ya ambaye haswali ni tofauti inayozunguka juu ya mzunguko wa Ahl-us-Sunnah?
Jibu: Ndio, ni tofauti inayozunguka juu ya mzunguko wa Ahl-us-Sunnah. Ahl-us-Sunnah wenyewe wanatofautiana kama wanavotofautiana kwa mfano katika masuala ya ambaye amekula nyama ya ngamia analazimika kurudi kutawadha au hapana.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-As-ilah al-Qatwariyyah, uk. 16-17
- Imechapishwa: 03/02/2019
Swali: Tofauti ilioko kuhusu hukumu ya ambaye haswali ni tofauti inayozunguka juu ya mzunguko wa Ahl-us-Sunnah?
Jibu: Ndio, ni tofauti inayozunguka juu ya mzunguko wa Ahl-us-Sunnah. Ahl-us-Sunnah wenyewe wanatofautiana kama wanavotofautiana kwa mfano katika masuala ya ambaye amekula nyama ya ngamia analazimika kurudi kutawadha au hapana.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-As-ilah al-Qatwariyyah, uk. 16-17
Imechapishwa: 03/02/2019
https://firqatunnajia.com/tofauti-katika-mzunguko-wa-ahl-us-sunnah/