Swali: Ni ipi tofauti kati kususa (الهجر) na kuapa kutomjamii (الإيلاء)?
Jibu: Anaweza kuapa na asimkate. Kususa ni kuacha kuongea naye au kumwingilia kabisa. Inategemea na aina ya ususaji. Anaweza kuapa kutomwingilia lakini anamzungumzisha. Akaapa kwamba hatomwingilia. Anaweza kulala usiku kwake na akamzungumzisha lakini asimjamii.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23889/ما-الفرق-بين-الهجر-والايلاء
- Imechapishwa: 25/05/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)