Swali: Kuna tofauti kati ya kufuru na shirki?
Jibu: Kufuru imeenea zaidi kuliko shirki. Kila mshirikina ni kafiri na sio kila kafiri ni mshirikina. Kafiri huyu anaweza kuwa mkanamungu na hatambui uwepo wa Mola kabisa. Kuhusu mshirikina anatambua uwepo wa Mola pamoja na kuwa anamshirikisha Yeye pamoja na wengine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (69) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/12-07-1438i.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket