Yahyaa al-Hajuuriy anasema lau Ahmad bin Hanbal atafufuka kutoka kwenye kaburi lake hatokubali maneno yake juu ya ´Abdur-Rahmaan [al-´Adniy]. Anasema pia kwamba lau wanachuoni wa dunia nzima watakubaliana juu ya kitu kingine kuliko kile anachosema juu ya [´Abdur-Rahmaan] al-´Adniy hatokubali hilo. Yuko tayari kuangusha maafikiano na kutojali.
Wakati nilipomwambia hilo Shaykh Rabiy´ akasema:
“Ni khatari zaidi kuliko Haddaadiyyah. Haddaadiyyah wanajificha nyuma ya wanachuoni na wanajionesha kuwa wanawapenda wakati huyu hajali kabisa wanachuoni.”
- Muhusika: Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin Yahyaa al-Bura´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.olamayemen.com/index.php?article_id=8861
- Imechapishwa: 18/01/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)