Swali: Je, mtu analipwa thawabu akipatwa na msiba na asisubiri?
Jibu: Ikiwa atakata tamaa, hapana. Kinyume chake ni mwenye kupewa matishio:
”… na mwenye kuchukizwa, basi anapata hasira.”
Lakini hilo halizuii kuwa msiba huo unaweza kufuta madhambi hata kama hakusubiri. Hata hivyo hatopata ujira ambao Allaah huwapa wenye kusubiri. Lakini msiba kama msiba ni wenye kufuta madhambi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25077/هل-يوجر-من-اصيب-بمصيبة-ولم-يصبر
- Imechapishwa: 31/01/2025
Swali: Je, mtu analipwa thawabu akipatwa na msiba na asisubiri?
Jibu: Ikiwa atakata tamaa, hapana. Kinyume chake ni mwenye kupewa matishio:
”… na mwenye kuchukizwa, basi anapata hasira.”
Lakini hilo halizuii kuwa msiba huo unaweza kufuta madhambi hata kama hakusubiri. Hata hivyo hatopata ujira ambao Allaah huwapa wenye kusubiri. Lakini msiba kama msiba ni wenye kufuta madhambi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25077/هل-يوجر-من-اصيب-بمصيبة-ولم-يصبر
Imechapishwa: 31/01/2025
https://firqatunnajia.com/thawabu-kwa-aliyepatwa-na-msiba-na-asisubiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket