Swali: Maneno yake Mtume(Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuhusu hajj ya mtoto:
”… utapata thawabu yake.”?
Jibu: Kwa maana juu ya matendo yake, kwa kuwa anamfanyisha Twawaaf, anamsaidia kutekeleza Sa‘y na ananuia kwa niaba yake. Kwa hiyo anapata thawabu.
Swali: Vipi kuhusu mtoto?
Jibu: Na mtoto ana thawabu zake. Wote, kwa sababu yeye pia amehiji. Kwa hiyo ana thawabu ya hajj.
Swali: Vipi kuhusu ‘Umrah?
Shaykh: Vivyo hivyo kuhusu ‘Umrah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28390/هل-في-حج-الصبي-يشمله-الاجر-ومن-حج-به
- Imechapishwa: 19/04/2025
Swali: Maneno yake Mtume(Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuhusu hajj ya mtoto:
”… utapata thawabu yake.”?
Jibu: Kwa maana juu ya matendo yake, kwa kuwa anamfanyisha Twawaaf, anamsaidia kutekeleza Sa‘y na ananuia kwa niaba yake. Kwa hiyo anapata thawabu.
Swali: Vipi kuhusu mtoto?
Jibu: Na mtoto ana thawabu zake. Wote, kwa sababu yeye pia amehiji. Kwa hiyo ana thawabu ya hajj.
Swali: Vipi kuhusu ‘Umrah?
Shaykh: Vivyo hivyo kuhusu ‘Umrah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28390/هل-في-حج-الصبي-يشمله-الاجر-ومن-حج-به
Imechapishwa: 19/04/2025
https://firqatunnajia.com/thawabu-juu-ya-hajj-ya-mtoto-na-anayemfanyisha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket