Swali: Ambaye alikula siku nyingi za Ramadhaan pasi na udhuru na wala hakumbuki kipindi hicho alikuwa anaswali au haswali. Ni kipi kinachomlazimu?
Jibu: Ni lazima kwake kutubia kwa Allaah (´Azza wa Jall) na ahifadhi swawm. Yanamtosha – Allaah akitaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
- Imechapishwa: 30/11/2019
Swali: Ambaye alikula siku nyingi za Ramadhaan pasi na udhuru na wala hakumbuki kipindi hicho alikuwa anaswali au haswali. Ni kipi kinachomlazimu?
Jibu: Ni lazima kwake kutubia kwa Allaah (´Azza wa Jall) na ahifadhi swawm. Yanamtosha – Allaah akitaka.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
Imechapishwa: 30/11/2019
https://firqatunnajia.com/tawbah-kwa-swawm-zilizompita/